Kiungo wa Brazil, David Luiz akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la kuongoza dhidi ya Chile katika mecho wa hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia iliyochezwa usiku huu kwenye Uwanja wa Mineirao, mjini Belo Horizonte. Brazil ilishinda kwa penalti 3-2 baada ya mechi hiyo kuchezwa kwa dakika 120 na matokeo kubaki 1-1.

No comments: