Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO), Raymond Benjamin (kulia) baada ya kuwasili katika Uwanja wa Kimataifa wa ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jana.

No comments: