Naibu Waziri wa fedha
Adam Malima (katikati) akizungumza na waandishi wanachama wa Habari za Kodi
Tanzania (TAWNET) wakati wa Mafunzo ya Kodi kwa wanachama hao
yaliyofanyika Chuo cha Kodi
Jijini Dar es Salaam juzi.Kushoto
Mkurugenzi wa Idara ya Huduma na Elimu
kwa Mlipakodi,Richard Kayombo na Mkurugenzi wa Fedha, Sarehe Mshoro. |
No comments:
Post a Comment