Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mhandisi Stellah Manyanya akizungumza na watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo ya Uyole iliyopo mkonia Mbeya walipomtembelea ofisini kwake jana kutambulisha mpango wa SARD unaodhaminiwa na Benki ya Maendeleo Afrika (ADB).

No comments: