Sehemu ya mashabiki waliojaza ukumbi wa Lina's Pub mjini Bukoba wakijimwaga ukumbini kusakata muziki uliokuwa ukiporooshwa na Malaika Band jana. |
Safu ya waimbaji wa Malaika Band wakishambulia jukwaa jana kwenye Ukumbi wa Lina's Pub, mjini Bukoba. |
Madansa wa Malaika Band wakionesha umahiri wao wa kucheza na jukwaa mbele ya mamia wa mashabiki waliohudhuria onesho la bedi hiyo kwenye ukumbi wa Lina's Pub, mjini Bukoba jana. |
Mashabiki wakiserebuka ukumbini wakati kikosi kizima cha Malaika Band kiliporomosha burudani ya kufa mtu kwenye ukumbi wa Lina's Pub mjini Bukoba jana. |
Christian Bella 'Obama' akiimba moja ya nyimbo za Malaika Band zilizowapagawisha mno mashabiki katika onesho lililofanyika jana kwenye Ukumbi wa Lina's Pub, mjini Bukoba. |
Kiongozi wa Malaika Band, Totoo Ze Bingwa akiimba moja ya nyimbo wakati wa onesho lililofanyika kwenye ukubmi wa Lina's Pub, mjini Bukoba jana. |
No comments:
Post a Comment