Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, mkewe Mama Zakhia Bilal, wakifurahia ngoma ya asili ya kabila ya Wahaya
baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa mjini Bukoba jioni hii kwa ajili ya
kuwasha Mwenge wa Uhuru kesho katika hafla itakayofanyika kwenye Uwanja wa
Kaitaba, Mkoa wa Kagera. |
No comments:
Post a Comment