Makamu wa Rais wa, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mwenge wa Uhuru
wakati wa Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge huo zilizofanyika kwenye Uwanja
wa Kaitaba, mjini Bukoba Mkoa wa Kagera leo. Mwenge huo unatarajia kuitimisha
mbio zake Oktoba 14 mkoani Tabora, ambapo zinatarajia kufungwa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete. |
No comments:
Post a Comment