Mwanafunzi
mdadisi kambana mwalimu wake wa Hisabati kwenye kona na mambo yakawa hivi. MWANAFUNZI:
Mwalimu, umesema 3X1 ni sawa na 1X3? MWALIMU: Haswaa, umenielewa vizuri kabisa.
MWANAFUNZI: Kwahiyo basi nikibadili dozi ya malaria iliyoandikwa 1X3 badala
yake ninywe 3X1 ni sawa tu!! Kasheshe…
No comments:
Post a Comment