Vijana
wakiwa kwenye matembezi ya Uzalendo yalioratibiwa na Umoja wa Vijana wa
CCM katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano ambapo vijana hao walianzia
matembezi kutoka ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Temeke mpaka kwenye viwanja
vya sabasaba na kulakiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dk.Jakaya Mrisho Kikwete. |
No comments:
Post a Comment