Mkurugenzi Mkuu wa Shirika
la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau (kushoto), akiteta jambo
na watendaji wakuu wa shirika hilo, baada ya kushiriki Mkutano Mkuu wa Baraza
la wafanyakazi uliofanyika Dar es Salaam juzi kupanga mikakati mbalimbali na kupitisha
bajeti ya mwaka 2014/15. Katikati ni Mkurugenzi Uendeshaji, Creascentius
Magori, Meneja Miradi wa NSSF, John Msemo (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa
miradi, Yakob Kidula na Meneja Kiongozi wa Mahusiano na Huduma kwa Wateja,
Eunice Chiume.
|
No comments:
Post a Comment