Makamu Mwenyekiti wa Mfuko wa Sikoseli Tanzania, Dk Julie Makani akihojiwa na waandishi wa habari katika hafla ya kuhamsidha jamii kuhusu ufahamu wa ugonjwa wa sikoseli 'seli mundu' iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Ugonjwa  wa sikoseli hurithiwa kutoka kwa wazazi wote wawili wenye vinasaba vya ugonjwa huo.

No comments: